SAMEHE NA KUSAHAU ILI UONE UFALME WA MUNGU
JIFUNZE KUSAMEHE NA KUSAHAU HATA KAMA UMEUMIZWA,,, waebrania 12:14,, Nini maana ya KUSAMEHE- Ni ile hali mtu kuachilia hata Kama kaumizwa
KUSAHAU - Ni ile hali ya mtu kufuta moyoni mwake na akilini mwake Yale mabaya aliyofanyiwa
NOTE: HUWEZI KUSAMEHE BILA KUSAHAU NA HUWEZI KUSAHAU BILA KUSAMEHE waebrania 8:12 ( ukiona umemsamehe mtu alafu alivyorudia kukukosea ukaja kumkumbusha yote ujue ulikua ujamsamehe Bali ulikua mnafiki Soma biblia yako vizuriii)
FAIDA ZA MTU KUSAMEHE NA KUSAHAU:
1. Yesu akija unaondoka nae Ila ujue kabsa usipo samehe na kusahau Yesu akija hamjuani lazima akuache waebrania 12:14
2. Maombi yako hayatajibiwa hata siku moja Kama hutasamehe waliokukosea mathayo 6:12
3. Roho mtakatifu hawezi kukaa ndani yako na kukufundisha maana kutokusamehe Ni dhambi 1yohana 3:8,3:4.....
KAMA UNATAMANI YESU AKIJA ASIKUACHE SAMEHE HATA KAMA UMEUMIZWA ,,,, LKN PIAH KUSAMEHE NI NJIA MOJAWAPO YA KUEPUKA MAGONJWA KAMA PRESSURE,, NK MUNGU AKUBARIK Na mwl. Timothy

No comments